UTANGULIZI
Karibu PesaX Tanzania ni Taasisi binafsi ya utoaji mikopo kwa njia ya mtandao (online) inayolenga kusaidia wafanyabiashara wadogo na wakubwa pamoja na kutoa mikopo kwa waajiriwa wa serikali na kampuni binafsi nchi nzima.
Kupitia tovuti hii tunatoa mikopo kuanzia shilingi 100,000 (Laki moja) hadi shilingi 5,000,000 (Milioni Tano) kwa mtu yoyote mwenye kuhitaji mkopo.
VIGEZO NA MASHARTI
- Mteja lazima akamilishe taarifa zake ili kuweza kukizi vigezo na aweze kupatiwa mkopo ndani ya dakika 30 tu.
- Mkopo hauwezi kutolewa endapo taarifa za mteja sio sahihi.
- Kiasi cha akiba husimama kama riba ya kiasi cha mkopo atakaochukua mteja.
- Kiasi cha akiba kinategemeana na kiasi cha mkopo anaochukua mteja.
- Ni sharti la lazima kwa kila mkopaji kuweka akiba ndipo apatiwe mkopo.
KUJIUNGA ONLINE
Pesax tumeweka njia rahisi ya kupata mkopo kwani tumempa uhuru kila Mtanzania kujiunga na huduma kwa mapendekezo (hiari) yake kupitia simu au kompyuta akiwa mahali popote na muda wowote akapata mkopo wake ndani ya dakika 30 bila usumbufu wowote ule.
UHAKIKA WA HUDUMA ZETU
Huduma hii ya mkopo ni ya Uhakika, Salama na haraka zaidi. Hatuhusiki na ubadhilifu wa aina yeyote ile kwa wateja wetu, mkopo huu hutolewa ndani ya dakika 30 Punde mara baada ya mteja kuweza kukamilisha taratibu zote (vigezo na masharti).
KWANINI AKIBA?
Kiasi cha akiba ni moja ya kigezo ambacho kitamuwezesha mteja kuweza kupatiwa mkopo, Kiasi hiki cha akiba hutolewa na mteja kabla ya kupatiwa mkopo na kiasi hiki ndio riba ya mkopo atakaochukua mteja kwa kipindi chote cha mkopo.
JE KUNA RIBA?
Ndiyo, kila huduma ya mkopo huwa na riba. Hata hivyo, katika utaratibu wetu, mteja hulipa deni lake kwa urahisi bila usumbufu. Kiasi cha akiba anachoweka kabla ya kupata mkopo ndicho kinachochukuliwa kama riba ya mkopo. Hivyo, mteja atarejesha kiasi alichokopa pekee.
REJESHO LA KILA MWEZI
Rejesho la mkopo kuanzia laki moja na laki mbili ni kuanzia shilingi 25,000 na 40,000.
Rejesho la mkopo kuanzia laki tatu hadi milioni moja ni shilingi 50,000 kwa mwezi na Rejesho la mkopo kuanzia shilingi milioni 2 hadi milioni 5 ni kati ya (100,000 hadi 250,000).
MIKOPO, AKIBA NA REJESHO
| Kiasi cha Mkopo (Tsh) | Akiba (Tsh) | Rejesho la Kila Mwezi (Tsh) | Muda (Miezi) |
|---|---|---|---|
| 100,000 (Laki Moja) | 25,000 | 25,000 | 4 |
| 200,000 (Laki Mbili) | 35,000 | 40,000 | 5 |
| 300,000 (Laki Tatu) | 45,000 | 50,000 | 6 |
| 400,000 (Laki Nne) | 55,000 | 50,000 | 8 |
| 500,000 (Laki Tano) | 65,000 | 50,000 | 10 |
| 600,000 (Laki Sita) | 75,000 | 50,000 | 12 |
| 700,000 (Laki Saba) | 85,000 | 50,000 | 14 |
| 800,000 (Laki Nane) | 95,000 | 50,000 | 16 |
| 900,000 (Laki Tisa) | 105,000 | 50,000 | 18 |
| 1,000,000 (Milioni Moja) | 150,000 | 50,000 | 20 |
| 2,000,000 (Milioni Mbili) | 250,000 | 100,000 | 20 |
| 3,000,000 (Milioni Tatu) | 350,000 | 150,000 | 20 |
| 4,000,000 (Milioni Nne) | 450,000 | 200,000 | 20 |
| 5,000,000 (Milioni Tano) | 550,000 | 250,000 | 20 |
FOMU YA MAOMBI YA MKOPO
Jaza taarifa zako kwa usahihi. Mkopo hutolewa ndani ya dakika 30 endapo vigezo vitazingatiwa.